Friday, August 12, 2011

SIBA HAJA NA MERTERSACKER



                              



                                                Arsene Venger


Bosi wa Arsenal Arsene Wenga amekataa kuwa na mpango wakutaka kumsajili beki wakati wa Vedabremen, Per Mertersacker.

Beki wa  kimataiafa amevuma kutaka kusajiliwa na klabu hiyo ya uingereza huku vyombo vya habari vikiandika na kutangaza taarifa hiyo lakini Wenga amekana kuwa ajawahi kumuwinda  na hanania na beki huyo

Mertesacker amebakisha mkataba wa mwaka mmoja ndani ya klabu hiyo  amabayo inajipanga kumsajili  kwa mara nyingine  beki huyo

No comments:

Post a Comment