klabu ya Arsenal imefuzu kushiriki klabu bingwa barani ulaya kwa kuingia hatua ya makundi mara baada ya kuichapa Udinese magoli mawili kwa moja katika mchezo uliochezwa nchini Italia katika uwanja. Comunale Friuli
udinese ilikuwa ya kwanza kupta bao katika dakika ya 39 kupitia mshambuliaji wake Antonio Dinatale kabla ya dakika ya 55 Robin Van parse kuunganisha krosi safi ya Gervinho na kuipatia Arsenal goli la kusawazisha.
dakika ya 70 Theo walcot alionyesha umahiri wake wa kukimbia na kufunga goli la pili na ushindi lakini kabla ya goli hilo Udinese walipata Penalt ilyopigwa na Dinatale na kipa wa Arsenal kupangua mpira.
kesho shirikisho la soka barani ulaya linafungua ile draw ya makundi ya michuano hiyo ya klabu bingwa.
TIMU NYINGINE ZILIZO FUZU HATUA HIYO NI HIZO ZILIZOWEKWA KIVULI
Aggr. Rubin Kazan' 2 - 4 Olympique Lyon
Tue 16/08/11 Olympique Lyon 3 - 1 Rubin Kazan'
Wed 24/08/11 Rubin Kazan' 1 - 1 Olympique Lyon
Aggr. København 2 - 5 Viktoria Plzeň
Tue 16/08/11 København 1 - 3 Viktoria Plzeň
Wed 24/08/11 Viktoria Plzeň 2 - 1 København
Aggr. BATE 3 - 1 Sturm Graz Tue 16/08/11
Wed 24/08/11 Sturm Graz 0 - 2 BATE
Aggr. APOEL 3 - 2 Wisła Kraków
Wed 17/08/11 Wisła Kraków 1 - 0 APOEL
Tue 23/08/11 APOEL 3 - 1 Wisła Kraków
Aggr. Genk P 2 - 1 Maccabi Haifa
Wed 17/08/11 Maccabi Haifa 2 - 1 Genk
Tue 23/08/11 Genk P 2 - 1 Maccabi Haifa
Aggr. Dinamo Zagreb 4 - 3 Malmö FF
Wed 17/08/11 Dinamo Zagreb 4 - 1 Malmö FF
Tue 23/08/11 Malmö FF 2 - 0 Dinamo Zagreb
Aggr. Villarreal 3 - 1 OB
Wed 17/08/11 OB 1 - 0 Villarreal
Tue 23/08/11 Villarreal 3 - 0 OB
Aggr. Bayern München 3 - 0 Zürich
Wed 17/08/11 Bayern München 2 - 0 Zürich
Tue 23/08/11 Zürich 0 - 1 Bayern München