Wednesday, August 24, 2011

ARSENA YAFUZU RASMI KLABU BINGWA.


klabu ya Arsenal imefuzu kushiriki klabu bingwa barani ulaya kwa kuingia hatua ya makundi  mara baada ya kuichapa Udinese magoli mawili kwa moja katika mchezo uliochezwa nchini Italia katika uwanja. Comunale Friuli
udinese ilikuwa ya kwanza kupta bao katika dakika ya 39 kupitia mshambuliaji wake Antonio Dinatale kabla ya dakika ya 55 Robin Van parse kuunganisha krosi safi ya Gervinho na kuipatia Arsenal goli la kusawazisha.


dakika ya 70 Theo walcot alionyesha umahiri wake wa kukimbia na kufunga goli la pili na ushindi lakini kabla ya goli hilo Udinese walipata Penalt ilyopigwa na Dinatale na kipa wa Arsenal kupangua mpira.

kesho shirikisho la soka barani ulaya linafungua ile draw ya makundi ya michuano hiyo ya klabu bingwa.
TIMU NYINGINE ZILIZO FUZU HATUA HIYO NI HIZO ZILIZOWEKWA KIVULI

 
 
Aggr. BATE 3 - 1 Sturm Graz Tue 16/08/11
 Wed 24/08/11 Sturm Graz 0 - 2 BATE

Aggr. Benfica 5 - 3 Twente
 Tue 16/08/11 Twente 2 - 2 Benfica 
 Wed 24/08/11 Benfica 3 - 1 Twente
 
Aggr. Udinese 1 - 3 Arsenal

 Aggr. APOEL 3 - 2 Wisła Kraków

  Aggr. Genk  P 2 - 1 Maccabi Haifa


Aggr. Villarreal 3 - 1 OB
 Wed 17/08/11 OB 1 - 0 Villarreal 

 Aggr. Bayern München 3 - 0 Zürich

No comments:

Post a Comment