Maandalizi ya pambano la msumbwi kati Francis cheka na Mada maugo linalotaraji kufanyika siku ya tareh mbili mwezi ujao katika uwanja wa Jamhruri mkoani Morogoro yamekamilika
Akizungumza na shamba la bibi muandaaji wa pambano hilo Kaike siraju amesema pambano hili litakuwa na mapambano kumi ya Utangulizi huku mwadada Asha Ngedele akiwa ni mmoja ya mabondia wa siku hiyo lakini bila ya kusahau burudani ya muziki toka kwa Juma Nature na Afande Sele itakuwepo
No comments:
Post a Comment