Akizungumza na shamba la bibi muandaaji wa pambano hilo Kaike siraju amesema pambano hili litakuwa na mapambano kumi ya Utangulizi huku mwadada Asha Ngedele akiwa ni mmoja ya mabondia wa siku hiyo lakini bila ya kusahau burudani ya muziki toka kwa Juma Nature na Afande Sele itakuwepo
No comments:
Post a Comment