Wednesday, August 24, 2011

NASRI NDANI YA NAMBA 19 YA CITY.



Klabu ya Manchester city imetangaza rasmi ukamilisho wa usajili wa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Arsena Samiri Nasri kwa mkataba wa miaka minene. mara baada ya kupasi vipimo vya afya,

Jana klabu hiyo ilitangaza kufikia makubaliano na Gunners na kuepeleka mchezaji kutolewa katika orodha ya nyota watakaojumuika  na Arsena katika mechi ya leo dhidi ya Udinese.

Nasri aliecheza mchezo wa ligi kuu uliozikutanisha Arsena NA liverpool ambapo Arsena ilibamizwa magoli mawili kwa sifuri kwa sasa amekamilisha kile alichokuwa anakihitaji cha kujiunga na klabu nyingine iliapate malipo mazurio zaidi.

Hii itakua faraja kwa Roberto Mancini kwa kumpata kiungo aliekuwa akimtaja kwa kuamini atakuwa muhili wa kutosha katika klabu yake.

Lakini pia kiungo atakae vaa jezi namba 19 mgongoni atakuwa amekata hamu ya mashabiki wa manchester united waliokuwa wanahamu ya kumnasa kiungo huyo wa kifaransa.

Kwabaadhi yamaoni ya wadau na mashabiki wa klabu ya Arsenal ulimwengu wamemtaka mzee Venga kuanza kazi ya kuziba mapengo hayo makubwa mawili likiwemo la Cesc Farbegas lakini wengine wakijiandaa kutafuta timu nyingine

No comments:

Post a Comment