Ligi ya soka la wanawake ngazi ya Taifa, ndani ya manispaa ya IRINGA kuanza kutimua vumbi Agosti 27 mwaka huu katika uwanja wa Samora mkoani Iringa.
Akizungumza nami katibu wa soka la wanawake Mwanakheri Kalolo amewataka wadau mashabiki kujitokeza kuangalia michezo ya soka la wanawake.
No comments:
Post a Comment