Manchester united yafanya mauaji ya pili baada ya kuibanjua Tottenham kwa mabao matatu kwa moja Dan Welbeck alikuwa wa kwanza kuandika bao la kwa katika dakika ya 61 akifuatiwa na Anderson dakika ya 76 na msumari wa mwisho ukipachikwa katika dakika ya 86 na Wayne Rooney.
kwa maana hiyo Manchester united ina pointi sita na magoli matano.
No comments:
Post a Comment