Tuesday, September 13, 2011

SAMAHANI KUTOKA NJE YA MICHEZO MSIBA UNANIHUSU MIMI NA TAIFA KWA UJUMLA

Maziko ya watu waliofariki kwenye ajali ya meli



Viongozi mbali mbali walijumuika kwa pamoja na wananchi katika kuwaombea dua wananchi waliofariki katika ajali ya kuzama meli ya Mv Spice Islander katika maeneo ya Nungwi Mkoa wa kaskazini Unguja juzi,sla ya kuwaombea dua maalum iliswaliwa katika viwanja vya maisara mjini Zanzibar jana.
Baadhi ya wananchi walioshiki katika sala na dua maalum wakiwa katika sala ya maiti ya kuwaombe wananchi waliofariki katika ajali ya meli ya mv Spice Islander katika viwanja vya maisara mjini Zanzibar jana.
Maelfu ya wananchi wakimsikiliza Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwahutubia wakati wa dua maalum ya kuwaombea katika viwanja vya maisara Mjini Zanzibar. Foto:  Ramadhan Othman IKulu.

No comments:

Post a Comment