Friday, August 12, 2011

NJOMBE MJI YAENDELEA NA MAPAMBANO DHIDI YA IRFA.

                                        
Baada ya rufaa zao zote mbili kutupiliwa mbali kwa kuonekana hazina mana. timu ya Njombe mji imekata rufaa nyingine ambayo wameiwasilisha moja kwa moja katika ofisi za TFF.

hii inaonyesha ni jinsi gani soka la Iringa lilivyojaa nyimbo zisizo na mafanikio.

No comments:

Post a Comment