Thursday, September 8, 2011

AVB AMTOLEA NJE MODRIC

                                    Mpango wa kusajiliwa kwa kiungo wa Crotia na klabu ya Tottenham Luka Modric unaweza kuota mbawa ifikapo mwezi january mara baada ya  bosi wa Chelsea Andre Vila Boas kutangaza kuwa dili la kumsajili nyota huyo halitowezekana.

Modric aliekuwa akiwindwa kwa udi na uvumba na jeshi la Chelsea amekuwa na imani ya kusajiliwa  na klabu hiyo katika kipindi cha dirisha dogo ili afute kututu na hamu ya kuitumikia klabu hiyo.

Boas amesema afikri kama ataendela na mbio hizo kwa maranyinge mara baada ya kufungwa kwa dirisha la usajili mwisho mwezi wa nane.

Kikwazo kikubwa cha kuuzwa kwa nyota huyo ni uongozi wa klabu hiyo ukiongozwa na mwenyekiti wa Spurs Dany Levy wakitaa ofa zote tatu zilizo tangazwa na klabu hiyo.

Kwa upande wa kocha wa Tottenham Herry Rdnap alikataa kiasi cha paundi milion 40 za mara ya mwisho na kutangaza kuwa chelsea imeshindwa na Modric Hauzwi.

Ikumbukwe hali hiyo ilipelekea nyota huyo kuomba asipangwe kwenye mchezo wa ligi kati ya Tottenham na manchester city uliomalizika wa Spurs kufungwa magoli matano kwa moja.
                                      Boas hakuishia hapo, alieleza juukushindwa kwa usajiliwa mlinzi wa FC Porto Alvaro Pereila na kusema kuwa Chelsea ilishindwa kukubali ada iliyotajwa na klabu hiyo ya kireno.

Amesema mbali na kumkosa Alvaro anafuraha na walinzi wake ambao ni Ashley Cole na Ryan Bentrand na kudai kuwa alvaro alikuwa katika mipango ya ziada.
                              Aidha AVB aliweka wazi kuhusu mshambuliaji wake alieumia katika mchezo dhidi ya Norwich kwamba atarudi uwanjani siku ya tarehe 18 katika mchezo dhidi ya  manchester united utakaopigwa ugenini katika uwanja wa Old Trafod.
Drogba atakosa mchezo kati ya  wa jumamosi dhidi ya  sunderland pamoja naklabu bingwa siku ya Jumatano dhidi ya Bayern Leverkusen

Lakini pia nyota wawili wa timu hiyo Piter Cech na David Ruiz watakuwemo katika kikosi wakitoka katika majeraha waliyonayo
                               Kiungo mpya wa Chelsea Orio Romeu amesema maamuzi ya kuhama klabu yake ya Barcelona hayakuwa magumu kutekelezeka.

Lukaku mwenye umri wa miaka 19 anaecheza kama kiungo mkabaji alisajili Chelsea kwa matumaini makubwa na kuanza mikakati ya kutafuta namba kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.

Mbali na kuacha moja ya timu zenye mafanikio kwa  muda mfupi lakini Lukaku amekiri kuwa hakuwa na fikra mbili katika kuhamakwake na kuamua mojakwa moja kwenda Chelsea.

No comments:

Post a Comment