Kiungo wa timu ya taifa ya Congo Yousuf Mulumbu ametangaza rasmi kujiuzulu kucheza soka la kimataifa na kuanza kudili zaidi na klabu yake ya Westbromwhich ya nchini England,
Taarifa toka katika chama cha mpira wa miguu nchini Congo FECOFA kimetangaza kupkea barua ya nyota huyo inayoelezea taarifa hiyo ya kujiuzulu soka la kimataifa kwa upande wa ti mu yake ya taifa.
Kwa upande wa katibu mkuu wa shirikisho la mpira nchini Congo Ediba Elonga alizungumza kupitia vyombo vya habari kuwa wapeokea barua hiyo lakini hawajapata nafasi ya kukaa na kujadili juu ya sula hilo ila afikiri kama kuna nafasi ya kumlazimisha mchezaji kuendelea kucheza kama mwenyewe hana nia hiyo tena,
No comments:
Post a Comment